Serikali saidia, biashara zetu zazorota | Uchumi na Biashara Podcast

Uchumi na Biashara

29-10-2022 • 14 mins

Licha ya serkali kuahidi kushughulikia changamoto za wafanyabiashara wadogo wadogo, bado mahangaiko yanashuhudiwa mwezi mmoja baada ya Kenya Kwanza kuchukua hatamu za uongozi. Wengi wa wafanyabiashara hao wanalalamikia kuongezwa kwa bei ya mafuta, na kusababisha hasara katika sekta ya matatu. Charles Macharia, mhudumu wa teksi na Jimmy Mwangi, mhudumu wa matatu wanatishia kugura biashara hii. Mwanahabari wetu Edwin Mbugua amefanya mazungumzo na baadhi ya wafanyabiashara hao katika Kaunti ya Nyeri.

You Might Like

The Moth
The Moth
The Moth
99% Invisible
99% Invisible
Roman Mars
Myths and Legends
Myths and Legends
Jason Weiser, Carissa Weiser, Nextpod
The Great Detectives of Old Time Radio
The Great Detectives of Old Time Radio
Adam Graham Radio Detective Podcasts
McCartney: A Life in Lyrics
McCartney: A Life in Lyrics
iHeartPodcasts and Pushkin Industries
Snap Judgment
Snap Judgment
Snap Judgment and PRX
Anxiety Rx
Anxiety Rx
Russell Kennedy