Nyumba za Bei Nafuu | Uchumi na Biashara Podcast

Uchumi na Biashara

25-10-2022 • 18 mins

Washikadau mbalimbali wanaunga mkono mpango wa ujenzi wa nyumba kwa bei nafuu unaoendelezwa na serikali, mfano mradi wa Buxton Point katika Kaunti ya Mombasa unaoendelezwa na mfanyabiashara, Suleiman Shahbal na Serikali ya Kaunti ya Mombasa. Robert Menza amezungumza na Martin Kariuki, anayesimamia uuzaji wa nyumba hizo.

You Might Like

The Moth
The Moth
The Moth
99% Invisible
99% Invisible
Roman Mars
Myths and Legends
Myths and Legends
Jason Weiser, Carissa Weiser, Nextpod
The Great Detectives of Old Time Radio
The Great Detectives of Old Time Radio
Adam Graham Radio Detective Podcasts
McCartney: A Life in Lyrics
McCartney: A Life in Lyrics
iHeartPodcasts and Pushkin Industries
Snap Judgment
Snap Judgment
Snap Judgment and PRX
Anxiety Rx
Anxiety Rx
Russell Kennedy