Uchumi umeimarika kwa asilimia 7.5, nani amefaidika?

Uchumi na Biashara

06-05-2022 • 3 mins

Uchumi wa Kenya uliimarika mwaka wa 2021 baada ya kuathirika kufuatia Janga la Korona mwaka wa 2020. Kwa mujibu wa ripoti ya Taasisi ya Takwimu, KNBS uchumi ulikua kwa asilimia 7.5, kiwango hiki kikitajwa kuwa cha juu zaidi baada ya kipindi cha miaka kumi na mmoja. Aidha, nafasi 923,100 za kazi zilibuniwa katika mwaka huo wa 2021, wageni waliokuja nchini wakiongezeka hadi 871,300. Esther Kirong ametupambia makala haya.

You Might Like

The Moth
The Moth
The Moth
99% Invisible
99% Invisible
Roman Mars
Myths and Legends
Myths and Legends
Jason Weiser, Carissa Weiser, Nextpod
The Great Detectives of Old Time Radio
The Great Detectives of Old Time Radio
Adam Graham Radio Detective Podcasts
McCartney: A Life in Lyrics
McCartney: A Life in Lyrics
iHeartPodcasts and Pushkin Industries
Snap Judgment
Snap Judgment
Snap Judgment and PRX
Anxiety Rx
Anxiety Rx
Russell Kennedy